Namba ya Upimaji ya Mwanafunzi: __________________
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI
060
HISTORIA YA TANZANIA NA MAADILI
(MKONDO WA AMALI)
(Kwa wanafunzi Walioko na Wasiokuwa Shuleni)
Muda: Saa 2:30
Mwaka: 2025
Maelekezo
- Upimaji huu una sehemu A, B na C zenye jumla ya maswali kumi (10).
- Jibu maswali yote kwenye nafasi ulizopewa.
- Sehemu A ina alama kumi na tano (15), sehemu B sabini (70) na sehemu C ina alama kumi na tano (15).
- Andika majibu yote kwa kutumia kalamu yenye wino wa bluu au mweusi.
- Vifaa vyote vya mawasiliano na vitu vingine visivyoruhusiwa havitakiwi katika chumba cha upimaji.
- Andika Namba yako ya Upimaji katika kila ukurasa sehemu ya juu upande wa kulia.
| KWA MATUMIZI YA MPIMAJI TU | ||
| NAMBA YA SWALI | ALAMA | SAHIHI YA MPIMAJI |
| 1 | ||
| 2 | ||
| 3 | ||
| 4 | ||
| 5 | ||
| 6 | ||
| 7 | ||
| 8 | ||
| 9 | ||
| 10 | ||
| JUMLA | ||
| SAHIHI YA MHAKIKI | ||
Ukurasa wa 1 kati ya 15
Namba ya Upimaji ya Mwanafunzi: __________________
SEHEMU A (Alama 15)
1. Katika kipengele (i) - (x), chagua jibu sahihi kutoka kwenye machaguo uliyopewa na kuandika herufi yake katika kisanduku ulichopewa.
Ukurasa wa 2 kati ya 15
Namba ya Upimaji ya Mwanafunzi: __________________
1. (Endelea...)
Ukurasa wa 3 kati ya 15
Namba ya Upimaji ya Mwanafunzi: __________________
2. Oanisha maelezo kuhusu uhusika wa viongozi wa makabila ya jamii za Kitanzania katika harakati za kuupinga uvamizi wa kikoloni katika Orodha A na majina ya viongozi husika katika Orodha B kwa kuandika herufi ya jibu sahihi katika jedwali ulilopewa.
| Orodha A | Orodha B |
| (i) Kiongozi wa kabila la Wahehe aliyepambana na Wajerumani. |
A. Chifu Merere B. Chifu Machemba C. Mangi Mandara D. Mangi Mashingia E. Chifu Mkwaa F. Chifu Fundikira G. Chifu Mirambo H. Chifu Mungungo |
| (ii) Kiongozi aliyeungana na Wajerumani kupigana dhidi ya Wahehe. | |
| (iii) Kiongozi aliyeshirikiana na Wajerumani kuuangusha utawala wa Wakibosho. | |
| (iv) Kiongozi wa Wanyamwezi aliyepinga kuenea kwa ukoloni wa Kijerumani Tanganyika. | |
| (v) Kiongozi wa Wayao aliyekataa kusaini mikataba ya kilaghai ya Wajerumani. |
Majibu
| Orodha A | (i) | (ii) | (iii) | (iv) | (v) |
| Orodha B |
SEHEMU B (Alama 70)
Jibu maswali yote katika sehemu hii.
3. Bainisha umuhimu wa kuhifadhi urithi wa asili na kiutamaduni. Toa hoja tano.
(i)
(ii)
(iii)
(iv)
(v)
Ukurasa wa 4 kati ya 15
Namba ya Upimaji ya Mwanafunzi: __________________
4. "Maadili yana mchango mkubwa katika kukuza uchumi wa nchi." Fafanua usemi huu kwa kutumia hoja tano.
(i)
(ii)
(iii)
(iv)
(v)
Ukurasa wa 5 kati ya 15
Namba ya Upimaji ya Mwanafunzi: __________________
5. Kwa kutumia hoja tano, eleza jinsi maarifa ya mifumo ya kisiasa na kiuchumi kabla ya ukoloni yanavyoweza kutumika kuimarisha uwajibikaji katika jamii za sasa.
(i)
(ii)
(iii)
(iv)
(v)
Ukurasa wa 6 kati ya 15
Namba ya Upimaji ya Mwanafunzi: __________________
6. Chambua hatua tano za kisiasa zilizochukuliwa na Serikali ya Tanzania kujenga taifa baada ya uhuru.
(i)
(ii)
(iii)
(iv)
(v)
Ukurasa wa 7 kati ya 15
Namba ya Upimaji ya Mwanafunzi: __________________
7. Tumia hoja tano kuchambua mchango wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere katika upatikanaji wa Uhuru wa Tanganyika.
(i)
(ii)
(iii)
(iv)
(v)
Ukurasa wa 8 kati ya 15
Namba ya Upimaji ya Mwanafunzi: __________________
8. Kwa kutumia hoja tano, tofautisha elimu ya jadi na elimu ya sasa.
(i)
(ii)
(iii)
(iv)
(v)
Ukurasa wa 9 kati ya 15
Namba ya Upimaji ya Mwanafunzi: __________________
9. Changanua vigezo vitano vya kiteknolojia vinavyotofautisha zana za zana za mawe na zana za zama za chuma.
(i)
(ii)
(iii)
(iv)
(v)
Ukurasa wa 10 kati ya 15
Namba ya Upimaji ya Mwanafunzi: __________________
10. Eleza mabadiliko matano ya kisiasa yaliyoletswa na utawala wa Waingereza katika jamii za Kitanzania.
(i)
(ii)
(iii)
(iv)
(v)
Ukurasa wa 11 kati ya 15

No comments
Post a Comment