MOCK7 MBEYA Exam Answers
KISWAHILI - DARASA LA VII
SEHEMU A
1.i) Kiongozi gani alitembelea shule ya msingi Songambele? B. Mkuu wa Wilaya
ii) Wanafunzi walieleza umuhimu wa vyama vya mazingira kuwa ni A. Kusaidia jamii zao
iii) Ni kigezo gani alikitumia mkuu wa Wilaya kutoa zawadi kwa vyama vya usafi wa mazingira? C. kueleza kwa kifupi majukumu yake
iv) Mkuu wa Wilaya alitoa agizo gani kwa wanafunzi wote? C. wanafunzi kujiunga na vyama vya utunzaji wa mazingira
v) Nini maana ya neno ziara kama lilivyotumika katika habari? E. kutembelea au kuzuru mahali fulani
SEHEMU B
Question | Answer |
---|---|
2.i) Mwasandube alikuwa hapendi kushirikiana na wenzake katika kutumia vitu vyake. Ni nahau gani itakayomfaa? | C. Anazunguka mbuyu |
ii) Baraka alisema, atasoma juma lijalo. Sentensi hii ipo katika nafsi ipi? | B. Nafsi ya tatu umoja |
iii) Petronila na kaka yake hushirikiana sana katika kazi za shambani. Sentensi hii ipo katika kauli ipi? | C. kutendana |
iv) Humo _____ alimotumbukia Mwanasesere tulipokuwa tukicheza. | B. ndipo |
v) Katika orodha ya maneno ifuatayo ni neno lipi halifanani na mengine? | D. nyumba |
vi) Mwalimu mgeni alikuwa anataka kutufundisha somo la Kiswahili. Neno lipi katika sentensi hii limetumika kama kivumishi? | C. mgeni |
vii) Ni methali ipi kati ya hizi zifuatazo inafaa kwa ajili ya malezi ya mtoto ili aweze kuwa na tabia njema? | E. Samaki mkunje angali mbichi |
viii) Nini uwingi wa sentensi ifuatayo "Kuku wetu mweusi ametaga mayai mengi sana" | B. Kuku zetu weusi wametaga mayai mengi sana |
ix) Tegua kitendawili kifuatacho "Ameingia shimoni aktiva uchi, akatoka amevaa nguo razuri" | D. mbegu |
x) Taja aina ya sentensi ifuatayo "Wangalisoma kwa bidii wasingalipata alama za chini" | B. shurutia |
SEHEMU C
6. Vipengele vya uandishi wa barua ya kirafiki:
i) Anwani ya mtumaji
ii) Tarehe
iii) Maaneno ya salamu
iv) Mwili wa barua
v) Salamu za mwisho na saini
URAIA NA MAADILI - DARASA LA VII
Question | Answer |
---|---|
1.i) Nini umuhimu wa kuwahudumia na kuwafariji wahitaji katika jamii? | A. kujenga upendo na kuthamini utu |
ii) Uvumilivu wa kisiasa ni msingi wa demokrasia kwa sababu | C. Unaleta kuelewana kwa pande zinazopingana kikitikadi |
iii) Ipi ni hatua ya tahadhari ya kuchukua kabla ya janga la moto kutokea? | E. kujenga nyumba zenye milango na madirisha ya dharura |
iv) Kuendelea kwa tatizo la rushwa ni changamoto inayozikabili taasisi za serikali na asasi zisizo za kiserikali kwa sababu gani? | C. Maadili na uadilifu unaokosekana |
v) Zifuatazo ni faida za kujenga uhusiano mwema na watu katika jamii isipokuwa | C. kuzuia maradhi ya kuambukiza |
vi) Ipi kati ya sentensi zifuatazo si kweli kuhusu faida za kuwa na mpango wa kazi? | E. hufanya suala la ufuataliaji na tathmini kuwa gumu |
vii) Kutunza vyanzo vya maji kama mito, maziwa na bahari huleta faida gani katika jamii? | A. Husaidia wasiojiweza kupata huduma za maji |
viii) Miongoni mwa njia zifuatazo ipi ni njia sahihi ya kuepuka kufanya makosa ya mitandao ya mawasiliano? | B. kutii sheria na kanuni |
ix) Kipi ni miongoni mwa vitendo vinavyoonesha mtu anayejihusisha na tabia hatarishi? | C. kuzurura usiku |
x) Ipi kati ya zifuatazo ni njia za haraka za kutangaza fursa zilizopo Tanzania katika nchi za kigeni? | A. tovuti, mitandao ya kijamii, majarida na vipeperushi |
MARIFA YA JAMII NA STADI ZA KAZI - DARASA LA VII
Question | Answer |
---|---|
1.i) Majanga ya asili si mara zote huleta madhara hasi, wakati mwingine huleta faida ipi kati ya zifuatazo si faida zitokanazo na mlipuko wa volkano? | D. kusababisha vifo |
ii) Tanzania ni nchi iliyobarikiwa kuwa na maliasili mbalimbali. Miongoni mwa maliasili hizo ni mbuga za wanyama. Mbuga ya wanyama ya Mikumi inapatikana mkoa gani? | B. Morogoro |
iii) Matumizi mabaya ya njia za mawasiliano kama vile kompyuta na simu za mkononi huleta madhara kama vile | D. Mmomonyoko wa maadili |
iv) Bwana Mgunda anaishi na mke wake na watoto wawili wa kiume wa kuwazaa. Hii ni aina gani ya familia? | C. familia ya baba na mama |
v) Shirika la kimataifa linaloshughulikia wakimbizi linaitwa | D. UNHCR |
vi) Ni nchi zipi za Afrika zilipata uhuru wake kwa njia ya amani? | D. Ghana, Tanganyika na Nigeria |
vii) Ni Gavana yupi alifanikiwa kurudisha fuvu la Chifu Mkwawa? | E. Edward Twinning |
viii) Maji ni chanzo kizuri cha kuzalisha umeme. Chanzo kingine cha kuzalisha umeme ni | A. Upepo na mwanga |
ix) Mstari wa Ikweta unapatikana upande gani kutoka jiji la Dodoma? | A. Kusini |
x) Nini tofauti ya muda kati ya miji miwili moja unapatikana katika meridian kuu na mji mwingine unepatikana 60° Mashariki mwa meridian kuu? | D. masaa 4 |
SAYANSI NA TEKNOLOJIA - DARASA LA VII
Question | Answer |
---|---|
1.i) Hewa ni mchanganyiko wa gesi mbalimbali. Ni gesi ipi ina kiwango kidogo katika anga hewa kati ya hizi zifuatazo? | E. Haidrojeni |
ii) Aina ya udongo inayofaa katika kilimo na ukuaji wa mimea katika mazingira ni | B. tifutifu |
iii) Alama za usalama zinazotoa maelezo kulinda viumbe hai katika mazingira, Ni rangi ipi huwakilisha alama za lazima au amri? | E. nyekundu |
iv) Kabla ya tabibu kutoa huduma, Nini umuhimu wa huduma ya awali anayopewa majeruhi? | C. hupunguza maumivi |
v) Kitu kikizama chote ama kiasi kwenye ugiligili kinapata upinzani wa kani elezi ambayo ni sawa na uzito wa ugiligili uliohamishwa na kitu hicho, ni kanuni ipi? | C. kanuni ya Archimedes |
vi) Ni aina gani ya antena ambayo ina uwezo wa kupokea na kuchakata mawimbi sumaku umeme unategemea umbali kati ya kidoa na mkeka kati ya hizi zifuatazo? | A. Antena kidoa |
vii) Moto daraja B huzimwa kwa kutumia gesi ya kabonidayoksaidi na poda kavu. Ni vitu gani vinavyoungua katika moto daraja B? | B. karatasi na plastiki |
viii) Mama yangu alisema, "Kaka ana dallii zifuatazo; homa, kichefuchefu, mwili kuhisi joto, kutetemeka na kutapika. Kama mwana sayansi dallii hizi ni za ugonjwa gani? | C. malaria |
ix) Ana alipoteza fahamu kutokana na kukosekana kwa gesi ya oksijeni kwenye ubongo, Je, ni changamoto gani alikumbana nayo? | B. kupoteza fahamu |
x) Madhara yanayotokana na kufunga kwa muda mrefu, mawazo, kula chakula kichache, na kula chakula chenye bakteria huitwa | C. vidonda vya tumbo |
ENGLISH LANGUAGE - STANDARD VII
Question | Answer |
---|---|
1.i) Which bird is the largest in the world? | C. Ostrich |
ii) What kind of foods do birds eat? | B. seeds |
iii) What kind of birds are kept at home? | D. Hens and ducks |
iv) Mention the benefits we get by keeping hens and ducks | D. give us eggs and meat |
v) What is the weight of a fully grown ostrich? | D. None |
2.i) If she had ______ a war, she would have won it. | D. fought |
ii) He plays football ______ | B. everyday |
iii) My friends ______ watching the match yesterday | E. were |
iv) Have you finished your homework? ______ | A. yet |
v) I ______ TV when the telephone rang. | B. was watching |
HISABATI - DARASA LA VII
Question | Answer |
---|---|
1.a) 978 + 5009 + 56 = | 6,043 |
b) 101010 - 9999 = | 91,011 |
c) 8795 × 29 = | 255,055 |
d) 26901 ÷ 49 = | 549 |
e) 19/1 - 13/1 = | 6 |
f) 4/5 ÷ 53/4 = | 16/265 |
g) 89.56 + 9.2638 = | 98.8238 |
h) 95 × 3.45 = | 327.75 |
i) -30 - -20 = | -10 |
j) 3 × 8 + (20 - 6) ÷ 2 = | 31 |
2.a) Namba ipi katika 9521037 ina nafasi ya thamani ya makumi elfu? | 5 |
b) Tafuta jumla ya thamani ya 4 na 6 katika namba 345621 | 40,006 |
c) Kadiria 89.4698 katika nafasi ya pili ya desimali | 89.47 |
d) Tafuta jumla ya namba zinazofuata katika mitiririko huu 4, 25, 49, ____, _____ | 121 (pattern: squares of prime numbers) |
e) Andika kwa tarakimu "Milioni arobaini na tisa elfu na ishirini na tisa" | 49,009,029 |
f) Andika namba zifuatazo kwa kifupi 7 + 6000000 + 50000 + 100 + 3000 + 20 = | 6,053,127 |
No comments
Post a Comment